Romans 5:4-5

4 anayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini, 5 bwala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

Copyright information for SwhKC